forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
953 B
Markdown
37 lines
953 B
Markdown
# Kwa ajili ya neno lako
|
|
|
|
Hapa "neno" linawakilisha alikiahidi Mungu.
|
|
|
|
# kutimiza kusudi lako mwenyewe
|
|
|
|
"kukamilisha ulichopanga kufanya"
|
|
|
|
# kwa mtumishi wako
|
|
|
|
Daudi anajirejerea kama "mtumishi wako."
|
|
|
|
# Kama tulivyosikia kwa masikio yetu
|
|
|
|
Kifungu "kwa macho yetu wenyewe" inatumika kwa msisitizo.
|
|
|
|
# Kama tulivyosikia
|
|
|
|
Hapa "sisi" inamwonesha Daudi na taifa la Israeli.
|
|
|
|
# Na ni taifa gani lililo kama watu wako Israeli, taifa pekee juu ya dunia ambalo wewe, Mungu, ukikwenda na kukikomboa kwa ajili yako mwenyewe?
|
|
|
|
Daudi anatumia msisitizo wa swali kwamba hakuna taifa lingine kama Israeli. Yaani: "Hakuna taifa lililo kama watu wako Israeli, taifa moja juu ya nchi ambalo wewe, Mungu, ulikwenda na kulikomboa kwa ajili yako."
|
|
|
|
# Kijifanyia jina wewe mwenyewe
|
|
|
|
Hapa "jina" inawakilisha heshima ya Yahwe.
|
|
|
|
# kwa nchi yako
|
|
|
|
Hapa "nchi" inawakilisha watu.
|
|
|
|
# Uliyaondoa mataifa
|
|
|
|
Hapa "mataifa" inawakilisha makundi ya watu waliokuwa wakiishi Kanaani.
|
|
|