forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
578 B
Markdown
17 lines
578 B
Markdown
# Ikawa
|
|
|
|
Kifungu kinaonesha mwanzo wa habari nyingine.
|
|
|
|
# alipewa kupumzika kutokana na adui wote waliomzunguka
|
|
|
|
"kupewa usalama kutokana na adui wote waliomzunguka." Hapa "pumziko" ni jina dhahania. Yaani: "kusababisha makundi ya maadui kuacha kushambulia Israeli"
|
|
|
|
# Ninaishi katika nyumba ya mwerezi
|
|
|
|
Mwerezi ni aina ya mti unaojulikana kwa uimara. Ni sawa na mninga katika utamaduni wetu. Inaaweza kuwa: "Ninaishi katika nyumba nzuri na ya kudumu"
|
|
|
|
# sanduku la Mungu linakaa katikati ya hema
|
|
|
|
Hema ni makazi ya muda. Yaani: sanduku la Mungu lakaa katika eneo la muda"
|
|
|