forked from WA-Catalog/sw_tn
318 B
318 B
Baali Perazimu
Hili ni jina la sehemu.
Yahwe amewafurikia adui zangu mbele zangu kama mafuriko ya maji
Daudi anazungumzia ushindi aliompa Yahwe kama yalikuwa mafuriko yaliyopitiliza kingo zake na kuifunika nchi, yakisababisha uharibifu. Yaani: "Yahwe amewashinda adui zangu kama mafuriko yanavyoishinda nchi"