sw_tn/2sa/03/24.md

570 B

Umefanya nini?

Hili ni swali lililoulizwa na Yoabu ili kumkemea Daudi kwa kumwacha Abneri kuondoka kwa amani. "Usingefanya hivi!"

Kwa nini umemwacha aondoke?

Yoabu anauliza swali hili kwa kumkemea Daudi kwa kumwacha Abneri kutoroka. Inaweta kufasiriwa kama taarifa. Yaani "Abneri alikuwa hapa nawe umemwacha aondoke!"

Je haujui...kila ukifanyacho?

Yoabu anauliza swali hili kumshawishi Daudi kuamini kwamba Abneri anapanga njama dhiki ya Daudi. Yaani: "Hakika unajua... kila ukifanyacho."

Kisima cha Sira

"Sara" ni jina la mahali kisima kilipokuwa.