Asaheli
Hili ni jina la mwanaume
Kugeuka...geuka upande
"usinifuate...acha kumfuata Abneri"
kamata mmojawapo ya vijana na uchukue silaha yake
Abneri alikuwa akimwambia Asaheli kuua na kumteka askari kijana ambaye siyo hatari kama Abneri. Hakutaka kumwua Asaheli.