forked from WA-Catalog/sw_tn
455 B
455 B
Abneri
Abneri alikuwa ni binamu wa Mfalme Sauli katika Agano la Kale *Abneri alikuwa Jemedari mkuu wa jeshi la Sauli, na alimtambulisha kijana Daudi kwa Sauli baada ya Daudi kumwua Goliathi
-inuka,inuka,inuka,inuka, inuka
-inuka, inuka juu - kwa ujumla, neno "inuka" linamaanisha"inuka juu" au "weka juu."
Benjamini
Alikuwa mtoto mdogo kuliko wote aliyezaliwa kwa Yakobo na mke wake Raheli. Jina linamaanisha, "mwana wa mkono wangu wa kuume"