forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
807 B
Markdown
21 lines
807 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Petro anaanza kwa kuwaambia wakristo namna watakavyo ishi wakati wanasubiri siku ya Bwana.
|
|
|
|
# Kwa kuwa vitu vyote vitateketezwa kwa njii hii.
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Tangu Mungu atahukumu mambo haya yote katika njia hii"
|
|
|
|
# je utakuwa mtu wa aina gani?
|
|
|
|
Petro anatumia swali la kejeli kusisitiza kile atakachosema badae, kwamba "wanapaswa kuishi maisha ya utakatifu na utaua" "unajua ni aina gani ya watu wanapaswa kuwa"
|
|
|
|
# mbingu itateketezwa kwa moto, na vitu vitayeyushwa katika joto kali
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu ataangamiza mbingu kwa moto, na ataviyeyusha
|
|
|
|
# sehemu ambayo watakatifu wataishi
|
|
|
|
Petro anazungumza juu ya "utakatifu" kama ilivyokuwa kwa mtu. HIki ni kirai cha watu anaishi au sehemu ya watu watakao ishi kwa utakatifu.
|
|
|