forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
1.1 KiB
Markdown
33 lines
1.1 KiB
Markdown
# mbingu na nchi vilianza... zamani, kwa amri ya Mungu
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu alianzisha mbingu na nchi... zamani kwa neno lake"
|
|
|
|
# vilianza kutokana na maji na kupitia maji
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuwa Mungu alisababisha ardhi kutoka kwenye maji, kukusanya maji kwa pamoja kufanya ardhi ionekane.
|
|
|
|
# kupitia neno lake
|
|
|
|
Hapa "neno lake" urejea kwa neno la Mungu na maji
|
|
|
|
# ulimwengu kwa kipindi hicho, ikiwa imejaa maji, iliharibiwa
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu aliujaza ulimwengu na maji kwa kipindi hicho na kuuharibu"
|
|
|
|
# mbingu na dunia zimetunzwa kwa neno hilo hilo kwa ajili ya moto.
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. "Mungu kwa neno lile lile, ametunza mbingu na nchi kwa ajili ya moto."
|
|
|
|
# kwa neno hilo hilo
|
|
|
|
Hapa "neno" usimama kwa Mungu, atakaye toa neno.
|
|
|
|
# Vimehifadhiwa kwa ajili ya siku ya hukumu
|
|
|
|
Hii kusemwa katika kauli tendaji na kuanza sentensi mpya. "Anawatunza kwa ajili ya siku ya hukumu"
|
|
|
|
# kwa ajili ya siku ya hukumu na maangamizi ya watu wasio wa Mungu
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa pamoja na maneno ya kitenzi. "kwa siku wakati anapohukumu na kuharibu watu wasio wa Mungu"
|
|
|