forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
904 B
Markdown
21 lines
904 B
Markdown
# Yeyote ajiepushaye na uchafu wa ulmwengu kwa kutumia maarifa ya Bwana na mwokozi Yesu Kristo
|
|
|
|
Mtu yeyote ambaye amempokea Bwana na Mwokozi Yesu Kristo na kugeuka kutoka kwenye uchafu na maisha yasyo matakatifu.
|
|
|
|
# Hali yake huwa mbaya kuliko ile ya mwanzo
|
|
|
|
Ni wabaya zaidi kwa sababu wana maarif ya maisha matakatifu na wamechagua kurudi kwenye maisha ya dhambi
|
|
|
|
# kama wasingeifahamu njia ya haki
|
|
|
|
Maisha ya yanayompendza Mungu.
|
|
|
|
# amri takatifu walizopewa
|
|
|
|
Sheria za Mungu na amri za Mungu ambazo wamepewa wangejua namna ya kuishi kwa ajili ya Mungu
|
|
|
|
# Mithali hii...mbwa huyarudia matapishi yake, Na nguruwe aliyeoshwa hurudi tena kwenye matope."
|
|
|
|
Ni usemi wa busara unaowalinganisha wale wanaoijua kweli lakini wanrudia maisha ya uasi. "Mbwa huyarudia matapishi yake" imenukuliwa toka Mithali 26:11. Katika namna yeyote maana yake inabaki kuwa "mnyama hawezi kufundishika ili asijnajisi mwenyewe"
|
|
|