forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
440 B
Markdown
13 lines
440 B
Markdown
# Maelzo ya Jumla
|
|
|
|
Hii inaendelea kueleza kile ambacho mflme Yosia alichokifanya katika kujibu ujumbe kutoka kwa Yahwe.
|
|
|
|
# Akaiondoa ... na kuichoma ... Akaipiga ... na kuitupa ... Akavisafisha
|
|
|
|
Mifano yote ya "Yeye" inamrejea Yosia, lakini inaweza kuwa bora kutafsiri ili kwamba msomaji awaelewe hao watu wengine, huenda Hilkia na "makuhani chini yake" (23:4), yawezekana wamemsaidia Yosia kwa haya mambo.
|
|
|
|
# kushona nguo
|
|
|
|
"tengeza nguo"
|
|
|