forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
1.2 KiB
Markdown
37 lines
1.2 KiB
Markdown
# Ikawa kwamba
|
|
|
|
Kama lugha yako ina njia ya kuweka alama mwanzoni mwa sehemu mpya ya hadithi, fikiria kuitumia hapa.
|
|
|
|
# aliposikia maneno ya sheria
|
|
|
|
Hapa "maneno" huwakilisha ujumbe wa sheria. "alisikia sheria iliyokuwa imeandikwa katika kitabu" au alisikia sheria iliyokuwa imeandikwa katika hati ya kukunja"
|
|
|
|
# alirarua mavazi yake
|
|
|
|
Hii ni alama inayoashiria huzuni kubwa sana au masikitiko.
|
|
|
|
# Ahikamu ... Shafani ... Akbori ... Mikaya ... Asaya
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
|
|
|
# kujadiliana na Yahwe
|
|
|
|
Imewekwa wazi katika 22:14 kwamba watu wangeweza kujadiliana na Yahwe kubainisha mapenzi yake.
|
|
|
|
# mjadala
|
|
|
|
kwenda kwa mtu kutafuta ushauri
|
|
|
|
# maneno ya hiki kitabu yaliyopatikana
|
|
|
|
Hapa "maneno" yanawakilisha sheria. "sheria katika hiki kitabu ambacho hilikia amekikuta"
|
|
|
|
# Kwa kuwa hasira kubwa ya Yahwe ambayo ametukasirikia dhidi yetu
|
|
|
|
Hasira ya Yahwe inazungumziwa kana kwamba ulikuwa mto uliokuwa unawaka. "Kwa kuwa Yahwe anahasira sana na sisi"
|
|
|
|
# yote yaliandikwa kuhusiana na sisi
|
|
|
|
Hii inarejea kwenye sheria iliyokuwa imetolewa na Israeli. "yote ambayo Musa aliyoyaandika katika sheria ambayo tunatakiwa kuyafanya" au "sheria yote ya Mungu aliyoitoa kupitia Musa kwa watu wa Israeli"
|
|
|