forked from WA-Catalog/sw_tn
754 B
754 B
Maelezo ya Jumla:
Ujumbe kutoka kwa Mfalme Yosia kwa Hilkia, kuhani mkuu, anaendelea.
Waacheni wapewe pesa ... walipewa ... kwa sababu waliimudu
Hapa "wao" na "-wa" inarejea kwa wafanyakazi ambao ni wasimamizi wa nyumba ya Yahwe katika 22:3.
mafundi seremala, wajenzi, na waashi
Hawa ni sawa na wafanyakazi waliopo katika nyumba ya Yahwe katika 22:3. Hapa wafanya kazi wanaelezwa kinaganaga zaidi.
wajenzi
watenda kazi wajengao kwa mbao
waashi
watenda kazi wajengao kwa mawe
zile pesa hazikutakiwa kuhesabiwa wakati walipokuwa wanapewa
"watenda kazi waliokuwa wasimamizi hawakutoa taarifa jinsi walivyotumia pesa ambayo walinzi wa hekalu waliwapatia"
kwa sababu walizimudu kwa uaminifu
"kwa sababu walitumia pesa kwa unyoofu"