forked from WA-Catalog/sw_tn
337 B
337 B
Maelezo ya Jumla:
Muhtasari wa hukumu wa Yahwe juu ya Israeli unaendelea.
walikuwa wakaidi
Hawakuwa tayari kufuata sheria za Mungu na kumtegemea Yahwe kama Mungu wao.
walikataa maagizo yake
Walikataa kutii shiria za Yahwe.
Walifuata mambo yasiyofaa
Walifuata mambo ya watu waliowazunguka.
kutokufuatisha
"kutonakili"