forked from WA-Catalog/sw_tn
730 B
730 B
sauti ya mlinzi
Hii inarejea kwenye sauti iliyotengenezwa na maaskari wote.
alikuja kwa watu katika nyumba ya Yahwe
"alikuja mahali ambapo watu walipokuwa wakikusanyika kwenye hekalu"
Alitazama, na, tazama, mfalme alikuwa amesimama
Hapa "tazama" inasisitiza kwamba alishangazwa kumuona Yoashi. "Wakati alipofika, alishangazwa kumuona Mfalme Yoashi amesimama"
karibu na nguzo
"karibu na moja ya nguzo za hekalu"
kama utamaduni ulivyokuwa
"ambapo ilikuwa kawaida jumba kwa ajili mfalme kusimama"
tarumbeta
watu ambao wachezao tarumbeta
Athalia alirarua mavazi yake
Alirarua mavazi yake kuonyesha kwamba alikuwa alikuwa amekasirika sana na hasira.
Uhaini! Uhaini!
"Wewe ni mhaini! Umenisaliti!" (UDB)