forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
525 B
Markdown
21 lines
525 B
Markdown
# Lakini, kwa kuwa mimi ni mwerevu, nimekuwa ambaye niliwapata kwa udanganyifu
|
|
|
|
Paulo anatumia neno la kejeli kuwaaibisha Wakorintho wanaofikiri naliwadanganya hata kama hakuwaomba pesa.
|
|
|
|
# Nilichukua kitu kwenu kupitia kwa mtu yeyote niliyemtuma?
|
|
|
|
"Hakuna mtu niliyemtuma akachukua kitu kwenu!"
|
|
|
|
# Je Tito alichukua kitu kwenu?
|
|
|
|
"Tito hakuchukua kitu kwenu."
|
|
|
|
# Hatukuenenda kwa mwenendo ule ule?
|
|
|
|
"Sote tulikuwa na tabia na maisha yanayofanana."
|
|
|
|
# Hatukuenenda kwa namna ileile?
|
|
|
|
"Sote tulifanya kwa namna inayofanana."
|
|
|