forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
1.0 KiB
Markdown
37 lines
1.0 KiB
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Paulo anawatia moyo waamini wa Korintho kujitenga na miungu naa kuishi maisha kwa ajili ya Mungu.
|
|
|
|
# Tumezungumza ukweli wote kwenu,
|
|
|
|
"tumezungumza ukweli kwenu"
|
|
|
|
# mioyo yetu imefunguka kwa upana.
|
|
|
|
paulo anazungumza alivyowaathiri Wakorintho kwa kuwa na moyo uliofunguka.
|
|
|
|
# mioyo yenu haizuiliwi na sisi, bali mnazuiliwa na hisia
|
|
|
|
Paulo anazungumzia Wakorintho kwa kukosa upendo kwake kama vile mioyo yao ilikuwa imesongwa katika nafasi finyi.
|
|
|
|
# mioyo yenu haizuiliwi na sisi,
|
|
|
|
Sentensi hi yaweza kuelezwa kwa jinsi hii: " Hatujaizuia mioyo yenu" au " hatujawapa mioyo yenu sababu yoyote kuacha kutupenda sisi"
|
|
|
|
# mnazuiliwa na hisia zenu wenyewe
|
|
|
|
Sentensi hii yaweza kuelezwa katika hali tendaji: " hisia zenu zinawazuia " au : mmeacha kutupenda sisi kwa sababu zenu"
|
|
|
|
# katika kubadilishana kwa haki
|
|
|
|
"kama mwitikio halisi
|
|
|
|
# ninaongea kama kwa watoto
|
|
|
|
Paulo anawaeleza Wakorintho kama watoto wake w kiroho.
|
|
|
|
# fungueni mioyo yenu kwa upana.
|
|
|
|
Paulo anawasihi Wakorintho kumpenda yeye kama yee alivyowapenda wao.
|
|
|