forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
557 B
Markdown
25 lines
557 B
Markdown
# tukiwa nyumbani au mbali
|
|
|
|
Neno " Bwana" huenda limetokana na mistari iliyotangulia. " ikiwa tukiwa numbani pamoja na Bwana au mbali na Bwana"
|
|
|
|
# tumpendeze yeye
|
|
|
|
"kumpendeza Bwana"
|
|
|
|
# mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo
|
|
|
|
"mbele za Kristo kuhukumiwa"
|
|
|
|
# kila mmoja aweze kupokea kile kinachostahili
|
|
|
|
"kilamtu aweze kupokea kile anacholstahili"
|
|
|
|
# mambo yaliyotendwa katika mwili
|
|
|
|
Sentensi yaweza kuelezwa kwa jinsi hii: "vitu ambavyo amevifanya katika mwili unaoonekana"
|
|
|
|
# ikiwa ni kwa uzuri au kwa ubaya.
|
|
|
|
"ikiwa vitu hivyo vilikuwa vizuri au vibaya"
|
|
|