forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
687 B
Markdown
21 lines
687 B
Markdown
# Mungu na baba wa Bwana wetu Yesu Kristo atukuzwe
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika hali tendaji. Tumtukuze Mungu na baba wa Bwana wetu Yesu Kristo daima"
|
|
|
|
# Mungu na Baba
|
|
|
|
"Mungu, ambaye ni Baba"
|
|
|
|
# Baba wa rehema na Mungu wa faraja yote
|
|
|
|
Tungo hizi mbili zinaelezea wazo linalofanana katika njia mbili tofauti. Kwa pamoja tungo zinamwelezea Mungu.
|
|
|
|
# Baba wa rehema na Mungu wa rehema na Mungu wa faraja yote
|
|
|
|
Maana zake zaweza kuwa 1) maneno "rehema" "faraja yote" yanaelezea tabia ya "Baba" na "Mungu" au 2) kwamba maneno "Baba" na "Mungu" yanamwelezea mmoja aliye asili ya "rehema" na "faraja yote."
|
|
|
|
# hutufariji katika mateso yote
|
|
|
|
Hapa "sisi" na "yetu" hujumlisha Wakorintho.
|
|
|