forked from WA-Catalog/sw_tn
436 B
436 B
Yahwe, Mungu wa Israeli anasema hivi: kuhusu maneno uliyoyasikia, kwa sababu ya moyo wako ulipondeka.
" Yahwe, Mungu wa Israeli anasema hivi kuhusu maneno uliyoyasikia, kwa sababu moyo wako ulipondeka -ukakubali kubadilika".
.Umeyalarua mavazi yako.
Hii ilikuw ishara ya hudhuni na toba.
Nitakukusanya pakwa babu zako. Utakusanywa katika kaburi lako kwa amani.
"Utakufa."
Macho yako hayataona.
"Hautaonja au kusshudia."