sw_tn/1ti/05/14.md

914 B

kusimamia nyumba

"kumhudumia kila mtu katika nyumba yake"

wameshamgeukia Shetani

Paulo anazungumzia wanaoishi katika uaminifu kwa Kristo kana kwamba ni njia ya kufuatwa. Hii ina maana mwanamke aliacha kumtii Yesu na kuanza kumtii Shetani. "kuacha njia ya Kristo na kumfuata Shetani" au "aliamua kumtii Shetani badala ya Kristo"

mwanamke yeyote aaminie

"mwanamke yeyote Mkristo" au "mwanamke yeyote ambaye anaamini katika Kristo"

anao wajane

"anao wajane katika jamaa yake"

wajane kweli

"wale wanawake ambao hawana mtu wa kutoa kwa ajili yao"

adui

Inawezekana Maana ni 1) hii inamaanisha Shetani au 2) hii inamaanisha wasio amini.

ili kanisa lisilemewe

Paulo anazungumzia jamii kuwa inasaidia zaidi watu kuliko uwezo wao kama walikuwa wamebeba uzito juu ya migongo yao. Hii inaweza kusemwa "ili kwamba jumuiya ya kikristo haitawasaidia wajane ambao familia inaweza kutoa kwa ajili yao"