sw_tn/1ti/04/14.md

1.1 KiB

usiache kutumia karama iliyoko ndani yako

Paulo anamzungumzia Timotheo kuwa ni kama chombo ambacho kimebeba karama za Mungu.

usiache

Hii inaweza kutafasiriwa kama, "hakikisha unatumia"

kuwekewa mikono na wazee

Hii ilikuwa ni sherehe ambayo viongozi wa kanisa waliweka mikono juu ya Timotheo na kumuombea kwamba Mungu atamuwezesha kufanya kazi aliyomwamuru au aliyomwagiza kuifanya.

Yafanye mambo hayo yote na uyaishi

"Fanya mambo haya yote na uishi kwa kuyafuata"

ili kukuwa kwako kuwe dhahiri kwa watu wote

"hivyo watu wengine waone ukuwaji wako" au "hivyo watu wengine watauona ubora wa maisha yako kwa kuyafanya hayo"

Dhibiti mwenendo wako

"Enenda kwa uangalifu" au "Dhibiti tabia yako"

Endelea kuyafanya mambo haya

"Endelea kufanya mambo haya"

utajiokoa mwenyewe na watu wanaokusikiliza

"utajiokoa wewe na wale wanaokusikiliza kutoka katika kuamini jumbe za uongo na kufanya matendo mabaya. Watu wanaoamini jumbe za uongo na kufanya matendo mabaya wategemee kutesekea kama matokeo yake. Paulo hataki Timotheo na marafiki zake kuteseka kwa kuamini na kutenda vitu au mambo yasiyo sahihi.