sw_tn/1ti/04/03.md

895 B

Wata

"Watu hawa wata"

kataza kuoa

"kuwakataza waumini kuoa" au "kuwazuia waumini kuoa"

kataza...kupokea vyakula

"waliwataka watu...wajiepushe na vyakula" au "kuwakataza watu...kula vyakula" au "kutowaruhusu watu...kula aina ya vyakula." "watu" hapa yaweza kumaanisha waamini.

waaminio na waijuao kweli

"waamini waijuao kweli" au "waamini waliojifunza kweli"

hakuna kinachokataliwa kama kitapokelewa kwa shukurani

"hatukitupi kitu chochote ambacho tunamshukuru Mungu kwacho" au "hatukikatai kitu chochote ambacho tunamshukuru Mungu kwacho" au "kila kitu ambacho tunakila kwa shukurani kinakubalika"

kinatakaswa kupitia neno la Mungu na kwa njia ya maombi

tafsiri mbadala: "tumekitenga kwa ajili ya matumizi ya Mungu kwa kulitii neno la Mungu na kumuomba yeye" au "tumekitenga kwa ajili ya matumizi ya Mungu kwa maombi ambayo yanakubaliana na ukweli ambao Mungu ameufunua"