forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
1.0 KiB
Markdown
37 lines
1.0 KiB
Markdown
# Mashemasi vilevile
|
|
|
|
"Mashemasi, kama kwa waangalizi"
|
|
|
|
# Wawe wakamilifu
|
|
|
|
Awe anastahili heshima
|
|
|
|
# Asiwe na kauli mbili
|
|
|
|
Kauli**-"siyo kusema kitu kimoja lakini maana ni nyingine"au "siyo kusema kitu kimoja kwa mtu mmoja na kusema vitu vingine tofauti kwa wengine"
|
|
|
|
# Asitumie mvinyo kupita kiasi
|
|
|
|
"Asitumie mvinyo kupita kiasi"au"asijitoe kutumia mvinyo kupita kiasi"
|
|
|
|
# Wasiwe na tamaa
|
|
|
|
"Wasiangalie pato lisilo la haki"
|
|
|
|
# Waweze kutunza kweli iliyofunuliwa kwa imani
|
|
|
|
Lazima waendelee kuamini ujumbe wa kweli uliofunuliwa na Mungu kwetu kwamba tunaamini."Hii inamanisha kwamba kwa kweli iliyoingia kwa muda mrefu lakini Mungu aliionyesha kwao kwa muda huu .
|
|
|
|
# Kwa dhamira njema
|
|
|
|
"Kwa dhamira njema kujua kwamba hatukufanya chochote kinyume"
|
|
|
|
# Wawe wamedhibitishwa kwanza
|
|
|
|
Wawe wamedhibitishwa kutadhiminiwa na kuamua ikiwa wanafaa kutumika"au" waweze dhibitisha peke yao kwanza"
|
|
|
|
# Kwa sababu hawana lawama
|
|
|
|
Ikiwa hakuna mmoja aweza kutafuta chochote kisicho sawa yeye peke yake "au "kwa sababu hawana lawama "au" kwa sababu hawakufanya chochote kisicho sawa"
|
|
|