sw_tn/1ti/01/intro.md

24 lines
1.1 KiB
Markdown

# I Timotheo 01 Maelezo kwa jumla
### Dhana kuu katika sura hii
#### Watoto wa Kiroho
Katika sura hii, Paulo anamwita Timotheo "Mwanawe wa Kiume" na "mwanawe"..Paulo alimfanya Timotheo kuwa Mkristo na kiongozi wa kanisa. Kuna uwezekano Paulo pia alimwongoza kumwamini Kristo. Kwa maana hiyo Paulo akamwita Timotheo "mwanangu katika Kristo".
#### Orodha ya ukoo
Orodha ya ukoo ni orodha ya rekodi ya mababu na wazawa wa mtu. Wayahudi walitumia orodha ya ukoo kuwachagua watu kuwa wafalme. Walifanya hivi kwa sababu ni mtoto tu wa kiume wa mfalme ambaye alistahili kuwa mfalme.Walionyesha pia kabila na familia familia yao. Kwa mfano makuhani walitoka kwa ukoo wa Walawi na wana wa Aruni. Maarufu wengi walikuwa na rekodi za ukoo yao.
### Mifano muhimu ya usemi katika sura hii
#### Maneno yanayohusu jambo moja
Kauli "Sheria ni nzuri mtu akiitumia kisheria" ni maneno yanayoashiria kitu kimoja. Maneno "sheria" na "kisheria" yana usemi sawa katika lugha ya awali.
## Links:
* __[1 Timothy 01:01 Notes](./01.md)__
* __[1 Timothy intro](../front/intro.md)__
__| [>>](../02/intro.md)__