forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
448 B
Markdown
21 lines
448 B
Markdown
# Ujumbe huu ni wa kweli
|
|
|
|
"Kauli hii ni ya kweli"
|
|
|
|
# unaofaa kukubalika
|
|
|
|
"unaweza kupokelewa bila mashaka yoyote" au "unatakiwa kukubalika kwa ujasiri wote"
|
|
|
|
# kwanza nilikuwa nimepata rehema
|
|
|
|
"kwanza Mungu alinionesha neema" au "Nilipewa neema kutoka kwa Mungu kwanza"
|
|
|
|
# mfalme mkongwe
|
|
|
|
"mfalme wa milele" au "mtawala mkuu wa milele"
|
|
|
|
# iwe heshima na utukufu
|
|
|
|
"aweze kuheshimiwa na kupewa utukufu" au "watu waweze kumweshimu na kukupa utukufu"
|
|
|