forked from WA-Catalog/sw_tn
697 B
697 B
maelezo ya jumla
katika hii mistari, neno "wetu" halielezei watu wa aina moja kila wakati.
Na Mungu wetu
"Tunaomba ya kuwa Mungu wetu"
Na Mungu wetu...Bwana wetu Yesu.
Neno "wetu' linaelezea waumini wote.
Baba mwenyewe.
"mwenyewe" inamuelezea "Baba" kwa msisitizo.
Zielekeze njia zetu kwako
Neno "zetu" linawaelezea Paulo, Silivanus na Timotheo lakini sio waumini wa Thesalonike.
Pia sisi tunafanya
Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silivanusi na Timotheo lakini sio waumini wa Thesalonike.
Na afanye hivyo
"Tunaomba ya kuwa Mungu atatenda"
Katika ujio wa Bwana wetu Yesu
" wakati Yesu atakapokuja tena duniani"
Na utakatifu wake wote
"Na wale wote waliowakwake"