sw_tn/1th/03/11.md

697 B

maelezo ya jumla

katika hii mistari, neno "wetu" halielezei watu wa aina moja kila wakati.

Na Mungu wetu

"Tunaomba ya kuwa Mungu wetu"

Na Mungu wetu...Bwana wetu Yesu.

Neno "wetu' linaelezea waumini wote.

Baba mwenyewe.

"mwenyewe" inamuelezea "Baba" kwa msisitizo.

Zielekeze njia zetu kwako

Neno "zetu" linawaelezea Paulo, Silivanus na Timotheo lakini sio waumini wa Thesalonike.

Pia sisi tunafanya

Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silivanusi na Timotheo lakini sio waumini wa Thesalonike.

Na afanye hivyo

"Tunaomba ya kuwa Mungu atatenda"

Katika ujio wa Bwana wetu Yesu

" wakati Yesu atakapokuja tena duniani"

Na utakatifu wake wote

"Na wale wote waliowakwake"