sw_tn/1th/01/06.md

335 B

Mmekuwa mfano wa kuigwa.

Kuiga maana yaake ni kutenda kama au kufataa. " mlituiga sisi".

"kulipokea neno"

"kuyapokea mafundisho" au "kuyakubali mafundisho".

Kwa taabu nyingi.

"katika wakati wa mateso makali" au " katika maudhi mengi".

Akaiya

Hii ilikuwa ni wilaya katika kipindi cha nyuma, na kwa sasa inaitwa Ugiriki.