forked from WA-Catalog/sw_tn
541 B
541 B
Taarifa ya jumla:
Daudi anapata nguvu kwa Bwana baada ya uvamizi.
Ahinoamu Myezreeli
"Ahinoamu toka Yezreeli"
Nabali Mkarmeli
"Nabali toka Karmeli"
Ahinoamu ... Abigaili
Haya ni majina ya wanawake
dhiki
Mateso
roho za watu wote zilihuzunika
"watu wote walikuwa tayari kuasi dhidi ya Daudi" au "watu wote hawakuwa na furaha"
Daudi alijiimarisha katika BWANA, Mungu wake
Yaweza kuwa na maana ya 1) "Daudi alijiimarisha kwa sababu alijua kuwa Bwana Mungu wake atamsaidia" au 2) "Bwana Mungu wake alimpa nguvu Daudi"