forked from WA-Catalog/sw_tn
503 B
503 B
pango
nafasi ya mashimo chini ya ardhi, kwa ujumla kufungua upande wa kilima, kubwa ya kutosha kwa watu kuingia
Adulamu
Hii ni jina la mji karibu na mji wa Gaza.
waliposikia hayo
aliposikia kwamba Daudi alikuwa amekwenda kujificha katika pango
Kila mmoja aliyekuwa na mahangaiko......kila mmoja ambaye hakuwa na furaha
Hiki ni kisichozidi. AT "Watu wengi ambao walikuwa na shida ... watu wengi ambao hawakuwa na furaha"
jemedari
afisa wa kijeshi anayeongoza askari
mia nne
"400"