forked from WA-Catalog/sw_tn
420 B
420 B
Taarifa za jumla
Daudi anamkimbia Samweli.
Sasa
Neno hili linatumika hapa kuonyesha kwamba mwandishi ameanza kuongea sehemu mpya ya hadithi.
Nae Sauli akaambiwa
Hii inaweza kuelezwa katika fomu harisi. AT "Mtu alimwambia Sauli"
Tazama
"Angalia" au "Sikiliza" au "Jihadharini na kile ninachokuambia"
akisimama kama kiongozi wao
Hapa "kichwa" inahusu nafasi ya mamlaka. AT "akifanya kama kiongozi wao"