forked from WA-Catalog/sw_tn
721 B
721 B
'Mfalme haitaji mahari yoyote, isipokuwa govi mia moja
Kitenzi cha maneno ya pili inaweza kutolewa kutoka kwa ya kwanza. AT "Mfalme hataki zawadi yoyote; anahitaji tu kwamba unamletea govi 100"
govi
"mahali". Katika utamaduni huu, mtu huyo alihitajika kutoa zawadi kwa baba mkwe.
govi
Neno "govi" linamaanisha ngozi ya kwenye sehemu za siri ambayo inaondolewa wakati wa kutahiriwa.
ili ajilipize kisasi kwa adui wa mfalme
Hii inaweza kuelezwa katika fomu ya kazi. AT "kulipiza kisasi juu ya maadui wa mfalme"
kumfanya Daudi kuangukia kwenye mikono ya Wafilisti
Hapa "kuanguka" maana yake kufa. Neno "mkono" linawakilisha Wafilisti. Hii inaweza kuelezwa katika fomu harisi. AT "Wafilisti kumuua Daudi"