forked from WA-Catalog/sw_tn
342 B
342 B
kuiondolea Israeli fedheha
"na akaifanya Israeli isifedheheke tena"
Ni nani Mfilisti huyu asiyetahiriwa ayatukanaye majeshi ya Mungu aliye hai?
Daudi alisema maneno haya kuonesha hasira yake kwa Wafilisti wanaolidharau jeshi la Mungu.
Mfilisti huyu asiyetahiriwa
Maneno haya yanaonesha kuwa Goliati hakuwa mtu wa Mungu aliye hai.