forked from WA-Catalog/sw_tn
378 B
378 B
Taarifa ya jumla:
Maneno ya Yonathani yakawafanya watu wamtende Mungu dhambi katika njaa yao kuu.
Mikmashi
Hili ni jina la mji.
Aiyaloni
"Aiyaloni" ni sehemu huko Zebuloni Israeli.
Watu
Hawa ni Waisraeli.
walikula nyama zao pamoja na damu.
Walikuwa na njaa sana hivyo walikula mpaka damu. Hapa walikiuka sharia aliyopewa Munsa kwa ajili ya taifa la Israeli.