forked from WA-Catalog/sw_tn
502 B
502 B
Hivyo hakuna hata mmoja kati ya watu wote aliyeonja chakula
Ilieleweka kwa watu kuwa chini ya kiapo cha Sauli hakuna chakula kilichoruhusiwa.
Watu wakaingia msituni
Askari wa Wafilisti walikimbilia msituni na askari wa Israeli wakawafuata.
Asali ilitiririka
Hii inasisitiza kuwa "kulikuwa na asali nyingi kila mahali"
hakuna aliyeweka mkono wake kinywani
"hakuna aliyekula chochote"
watu waliogopa kiapo
Watu hawakukiogopa kiapo ila waliogopa adhabu iliyoambatana na kuvunja kiapo.