forked from WA-Catalog/sw_tn
548 B
548 B
Wakamlilia Bwana
Hawa ni taifa la Israeli.
tumewatumikia Mabaali na Mashtorethi
Kumtumikia imetumika hapa kama kumwabudu, "waliabudu miungu ya uongo"
Mkono wa adui zako
"Nguvu au utawala wa adui zako"
Yerubu Baali
Hili ni jina la heshima na nguvu ya kupigana na Mungu wauongo.
Bwana akawatuma ... na akawapa ushindi
Samweli anasimulia simulizi ya namna ambavyo Mungu alifanya baada ya watu kutubu dhambi zao na kuomba msaada.
Yerubu Baali, Bedani, Yefta na Samweli
Haya ni majina ya baadhi ya waamuzi ambao Mungu aliwainua.