forked from WA-Catalog/sw_tn
487 B
487 B
Lakini haikumpendeza Sameli ... Utupatie mfalme
Samweli hakuwa na furaha kwamba watu hawakutaka yeye awaondoe watoto wake waliokuwa waovu na kumteua mwamuzi mwingine lakini walitaka mfalme wa kutawala juu yao kama nchi nyingine zinavyofanya.
Sikiliza sauti ya watu
Hapa neno "sauti" linamaana ya mapenzi au matakwa ya watu. "Fanya kama vile watu wanavyotaka"
bali wamenikataa mimi
Bwana alijua kuwa watu hawakuwakataa viongozi waovu tuu bali walimkataa yeye kama mfalme wao.