mfalme akalazwa garini mwake
"mtu mmoja akamweka mfalme kwenye gari lake
kilio kiatawala
"wanajeshi walianza kupiga kelele
Kila mtu arudi kwenye mji wake; na kilamtu arudi kwenye mkoa wake
Senrensi hizi zinamaanisha jambo moja. Vimeunganishwa kwa ajili ya msisitizo.