forked from WA-Catalog/sw_tn
404 B
404 B
akajitengenezea pembe
akatengeneza pembe kwa ajili yake
Kwa hili utawsukuma Washami mpaka watakapoisha
Anachokisema nabii ni kwamba jeshi la Ahabu litashinda kwa nguvu nyingi kama vilr fahari anavyomshambulia mnyama mwingine. "watatakapoisha" ni usemi unaomaanisha kuwa "kuangamiza"
mpaka watakapoisha
"mpaka uwaangamiza"akapo
ameiweka kwenye mkono wa mfalme
"amemruhusu mfalme kuivamia"