Nenda umwambie bwana wako kwamba Eliya yuko hapa
Tazama 18:9
bwana wako
Neno "bwana" hapa linamaanisha Ahabu
kama vile BWANA wa majeshi aishivyo
Hiki ni kiapo kinachomaanisha kuwa anachokisema ni cha kweli
ambaye mimi ninasimama
"ambaye ninamtumikia"