forked from WA-Catalog/sw_tn
384 B
384 B
neno la Mungu, neno la BWANA, neno la Bwana, maandiko
Katika biblia, "neno la Mungu" linamaanisha kitu chochite ambacho Mungu amesema kwa watu. Hii inajumuisha kilichoandikwa na kilichosemwa. Yesu pia anaitwa "neno la Mungu"
mwana, mwana wa
Neno "mwana" linamlenga mtoto wa kiume au mwanamume katiak uhusiano na mzazi wake. Inaweza pia kumaanisha mtoto wa kiume aliyeasiliwa.