forked from WA-Catalog/sw_tn
345 B
345 B
Taarifa kwa ujumla
Ahiya anaendelea kumwambia Yeroboamu kile ambacho BWANA alisema.
Sitauchukua
"Neno "si" linamaanisha BWANA
kwenye mkono wa Sulemani
"toka kwenye mamlaka ya Sulemani"
Nitampa
Neno "m" Yeroboamu.
atabaki kuwa nuru mbele yangu
"daima kutakuwa na kizazi kitakachotawala ili kuwa ukumbusho wa familia ya Daudi"