Ijapokuwa hekalu hili limetukuka sasa
"japokuwa hekalu hili ni kubwa na zuri"
atasituka na kuzomea
"ataonyesha mshangao na kutoa sauti ya dharau"
wameinamia na kuiabudu
Virai hivi vinamaanisha kitu kilekile. Kirai "kuiinamia" kinaonyesha kitendo ambacho watu hutumia wa wakati wa kuabudu.