forked from WA-Catalog/sw_tn
345 B
345 B
Taarifa kwa ujumla
Abiatahari amefukuzwsa kwenye ukuhani na mfalme Sulemani.
na kujitaabisha kwa namna mbalimbali kama baba yangu alivyopata tabu
Abiathari alijitabisha pamoja na mfalme Daudi kabla Daudi hajawa mfalme.
ili kwamba atimilize
Neno "a" linamwakilisha mfalme Sulemani
alivyokuwa amesema
neno "a" linamwakilisha BWANA