forked from WA-Catalog/sw_tn
335 B
335 B
Taarifa kwa ujumla
Mfalme Sulemani anamwua Adoniya
na kunipa kiti cha enzi
"Neno "kiti cha enzi" linamaanisha mamlaka ya Sulemani ya muwa mtawala kama alivyokuwa amepewa na BWANA.
ambaye amenifanyia nyumba
Neno "nyumba" linamaanisha uzao ambao Mungu alikuwa amempa mfalme Sulemani, ambao utaendelea kutawala baada ya Yake.