forked from WA-Catalog/sw_tn
510 B
510 B
Taarifa kwa ujumla
Daudi anakufa na Sulemani anakuwa mfalme mpya wa Israeli.
alipolala na mababu zake
"alipokufa"
Daudi ... na alizikwa
"Daudi ... na wakamzika"
Siku ambazo Daudi alitawala Israeli zilikuwa ni
"Muda ambao Daudi alitawala Israeli walikuwa" au "Daudi alitawala Israeli kwa muda wa "
akaketi kwenye kiti cha enzi cha baba yake Daudi
"kiti cha enzi kinawakilisha mamlaka ya mfalme
akaketi kwenye kiti cha babayake Daudi
"akawa mfalme, kama vile Daudi baba yake alivyokuwa"