forked from WA-Catalog/sw_tn
474 B
474 B
Taarifa kwa ujumla
Bathisheba anaendelea kuongea na Daudi
macho yote ya Israeli yako kwako
Neno "macho" liinamaanisha watu. "watu wote wa Israeli wanakutazama wewe"
atakayeketi kwenye kiti cha enzi
Tazama 1:13
wakati bwana wangu atakapolala na baba zake
"utakapolala na baba zako"
atakapolala na baba zake
Hii ni tafsida ya neno "kufa"
Mimi na mwanangu Sulemani kuhesabiwa wahaini
"Mfalme mpya atatuhesabu mimi na mwanangu Sulemani kuwa ni wahaini"