sw_tn/1jn/05/20.md

25 lines
664 B
Markdown

# Maelezo ya Jumla
Maneno "yeye" na "Aliye" humrejea Yesu Kristo
# Mwana wa Mungu
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu ambacho huelezea uhusiano wake kwa Mungu.
# ametupatia ujuzi
"ametuwezesha kumwelewa huyo kweli"
# uzima
Hapa, neno "uzima" husimama kwa niaba ya haki ya kuishi milele kwa neema na pendo la Mungu. Tazama maelezo katika1:1.
# Yeye ni... uzima wa milele
hili linasimama kwa niaba ya wazo kwamba Kristo hutupatia uzima wa milele.
# Watoto
Yohana alitumia maelezo haya kuonyesha kuonyesha upendo wake kwa ajili yao. : "Watoto wangu katika Kristo" au "ninyi mlio wapendwa kwangu kama watoto wangu mwenyewe." Tazama lilivyotafsiriwa katika 2:1.