sw_tn/1jn/04/09.md

848 B

Katika hili pendo la Mungu lilifunuliwa miongoni mwetu,

"Kwa hili Mungu alionyesha kwamba alitupenda"

pendo la Mungu lilifunuliwa

Ule uhalisa kwamba Mungu anampenda kila mtu yamengumzwa kana kwamba yalikuwa kitu ambacho kwacho Mungu angeweza kwao.

ili tungeishi kwa sababu ya yeye

"kutuwezesha kuishi miliele kwa sababu ya kile Yesu alifanya

Katika hili pendo

Mungu alituonyesha sisi hasa pendo ni nini

pendo, si kwamba tulimpenda Mungu, lakini yeye alitupenda, na

"pendo: pendo la kweli siyo namna tuvyompenda Mungu, bali ni jinsi alivyotupenda sisi, na"

akamtuma Mwanawe awe fidia ya dhambi zetu.

Hapa "fidia" hurejelea tukio la ambalo kwalo Mwana alifanyika dhabihu kwa ajili ya dhambi kwa ajili ya dhambi za watu wote. : "An alimtuma Mwanawe kutoa mwenyewe kuwa dhabihu ili kwamba Mungu angeweza kutusamehe dhambi zetu