forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
494 B
Markdown
25 lines
494 B
Markdown
# Nani ni mwongo bali ni yeye anayepinga kwamba Yesu ni Kristo? Huyu mtu ni mpinga kristo
|
|
|
|
Nani ni mwongo? ni yeyote akanaye ukweli kwamba Yesu ni Kristo." Yohana alitumia swali kusisitiza waongo ni nani.
|
|
|
|
# anayemkana Baba na Mwana.
|
|
|
|
"hukataa kusema kweli kuhusu Baba na Mwana" au "humkataa Baba na Mwana."
|
|
|
|
# Baba... Mwana
|
|
|
|
Hivi ni vyeo muhimu ambavyo huelezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu.
|
|
|
|
# ana Baba
|
|
|
|
"ni wa Baba"
|
|
|
|
# amkiriye Mwana
|
|
|
|
Husema kweli kuhusu Mwana"
|
|
|
|
# ana Baba
|
|
|
|
"ni wa Baba"
|
|
|