sw_tn/1jn/01/01.md

1.5 KiB

Sentensi Unganishi

Kitabu hiki kinaanza makusudi yake mawili - Ushirika na Furaha.

Maelezo ya Jumla

Mtume Yohana aliandika waraka huu kwa Waamini. Mifano yote ya "nyinyi" na "yenu," hujumuisha waaminio wote na yako katika wingi. Maneno "sisi" na "tu" hapa humaanisha Yohana na walie waliokuwa wameishi na Yesu. Mstari wa 1 ni nusu sentensi, unatakiwa usomwe pamoja na msitari 2. na Sentensi kamili huishia 1:3

Lile lililokuwako tangu mwanzo

Kifungu cha maneno "lile lililokuko tangu mwanzo" humaanisha Yesu, aliyekuwako kabla ya kila kitu kilichofanyika.:Tunawaandikia juu ya yule alikuwako kabla ya uumbaji wa vitu vyote

Neno la uzima

"Neno la uzima" ni Yesu Kristo. Yesu, yule anayesababisha watu waishi milele.

Uzima

Neno "uzima" mwote katika barua hii humaanisha zaidi ya uzima wa kimwili. Hapa linasimama badala ya Yesu, aliye uzima wa milele.

Na ule uzima ulifanywa kujulikana wazi

Hili linaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. :"Mungu aulifanya uzima wa milele ujulikane kwetu" au Mungu alitufanya sisi tuweze kumjua yeye, aliye uzima wa milele"

na tumeuona

"na tumemwona yeye"

na kuushuhudia,

"na tunawatangazia na wangine kwa dhati kuhusu yeye"

uzima wa milele

"Uzima wa milele," hapa humaanisha yule ambaye hutoa uzima, Yesu. : "Yule anayetuwezesha sisi kuishi milele"

ambalo lilikuwa pamoja na Baba

"aliyekuwa na Mungu Baba"

na lilifanywa kujulikana kwetu

Huu ulikuwa ni wakati alioishi duniani. :"na alikuja kuishi miongoni mwetu"